SIFA ZA MJASIRIA MALI
    Watu wengi wamekuwa wakilitumia hili jina MJASIRIAMALI bila wao  kutambua kama wanalitumia sahihi au sio sahihi wengi wanaamini kuwa ni  wajasiriamali lakini sio wajasiriamali ni wafanyabiashara japo wengi  hujiita wajasiriamali.Mjasiriamali ni mtu gani?  Huyu ni mtu ambae anaweza kutumia jamii inayomzunguka katika kuanzisha fursa mbalimbali za kibiashara ambazo  zitampatia kipato,mtu huyu huweza kuitumia rasilimali watu ili  kujinufaisha,watu wengi wanaamini kufungua duka ni kuwa mjasiriamali  hapana unaweza kufungua duka lakini bado ulichokifungua na jamii  inayokuzunguka hakina faida na ni idadi ndogo tu ya watu ndio  watakubaliana nacho lakini pia umefungua duka lakini unasubiria wateja waje  tu,huu sio ujasiriamali bali ni ufanyabiashara.mjasiriamali biashara  yake haina msimu maalumu lakini mfanyabiashara biashara yake inamsimu  maalum.Zifuatazo ni sifa za mjasiria mali.      1. ANAPENDA KUJIFUNZA   Hapa ndipo ugonjwa wa watu wengi ulipo mtu anajiita  mjasiriamali lakini muul...