Dkt. Akwilapo awataka wahitimu wa ADEM kusimamia kanuni na taratibu katika utendaji kazi.                                                   Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi  na Teknolojia Dkt. Leornard Akwilapo amewataka wahitimu wa kozi za  Uongozi na Usimamizi wa Elimu zinazotolewa na Wakala wa Maendeleo ya  Uongozi wa Elimu (ADEM) kuhakikisha wanasimamia utekelezaji wa Sera ya  Elimu na Mafunzo ya mwaka(2014), Sheria, Kanuni na Taratibu za Elimu ili  kupunguza migogoro shuleni      Katibu Mkuu ameyasema hayo katika  mahafali ya Ishirini na tano (25) yaliyofanyika katika Chuo hicho  kilichopo Bagamoyo Mkoani Pwani ambapo amewataka ADEM  kuendelea  kusimamia utekelezaji wa Mtaala kwa ufanisi, kutoa takwimu sahihi za  shule, kupanga mipango ya maendeleo ya shule inayotekelezeka, kusimamia  fedha za elimu bila malipo kwa ufanisi.   Eneo lingine ambalo Katibu Mkuu ametaka  litiliwe mkazo ni    pamoja na kudhibiti nidhamu za wanafunzi mara  warudipo katika vituo vy...
Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba 24, 2017
INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’
- Pata kiungo
 - X
 - Barua pepe
 - Programu Nyingine
 
                      INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’   07TH - 09TH DECEMBER, 2017, SHAM EL SHEIKH, EGYPT  .    Tanzania Investment Centre (TIC) in collaboration with the Ministry of  Industry, trade and Investment are pleased to invite local  companies/entrepreneurs to an investment forum to be held in Sham El  Sheikh, Egypt from 07th to 09th December 2017.    The Africa 2017 Forum is the largest investment forum in Africa aimed at  introducing business to business and government to business platform  focusing on key strategic sectors. The theme for this year will be  “Driving Investment for Inclusive Growth’’, providing a platform to  increase private sector cooperation in Africa and catalyze investment  into sectors of strategic interest to the African continent.  The Africa 2017 Forum will bring  together policy makers, financiers, investors, and the world countries  to promote investments in strategic sectors and the Conference ...