Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya UJASIRIAMALI

DHANA YA UJASIRIA MALI

DHANA NA ASILI YA UJASIRIAMALI U jasiriamali kama somo limetokea kupendwa na watu wengi hasa katika jamii ya kisasa, lakini ni watu wachache wanaojua nini hasa maana ya ujasiriamali,mjasiriamali ni nani, chimbuko la ujasiriamali ni  wapi, zipi ni sifa za mjasiriamali, nini mchango wa mjasiriamali katika maendeleo ya Taifa, je faida za kuwa mjasiriamali  ni zipi. Ukijiuliza maswali haya utagundua kuwa kuna umuhimu wa kujifunza zaidi ju ya ujasiriamali. Ujasiriamali ni nyanja ambayo ikitiliwa mkazo inaweza kuleta mapinduzi katika ukuaji wa uchumi,teknolojia,siasa na utamaduni wa jamii husika. Katika muktadha wa Tanzania ujasiriamali kama zana ya msingi katika kukuza uchumi bado haujapewa kipaumbele kwani wadau na washika dau bado hawajaweka mtazamo chanya na nguvu katika kutoA elimu ya ujasiriamali kwa wananchi. Watanzania wengi wamekosa elimu hasa elimu ya mfumo rasmi(darasani) lakini elimu ya ujasiriamali inaweza tolewa popote bila hata kufuata mfumo rasmi na ikawaf...

WAZO MUHIMU

JITHAMINI

INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’

Picha
INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’ 07TH - 09TH DECEMBER, 2017, SHAM EL SHEIKH, EGYPT . Tanzania Investment Centre (TIC) in collaboration with the Ministry of Industry, trade and Investment are pleased to invite local companies/entrepreneurs to an investment forum to be held in Sham El Sheikh, Egypt from 07th to 09th December 2017. The Africa 2017 Forum is the largest investment forum in Africa aimed at introducing business to business and government to business platform focusing on key strategic sectors. The theme for this year will be “Driving Investment for Inclusive Growth’’, providing a platform to increase private sector cooperation in Africa and catalyze investment into sectors of strategic interest to the African continent. The Africa 2017 Forum will bring together policy makers, financiers, investors, and the world countries to promote investments in strategic sectors and the Conference ...

SIFA ZA MJASIRIA MALI

Watu wengi wamekuwa wakilitumia hili jina MJASIRIAMALI bila wao kutambua kama wanalitumia sahihi au sio sahihi wengi wanaamini kuwa ni wajasiriamali lakini sio wajasiriamali ni wafanyabiashara japo wengi hujiita wajasiriamali.Mjasiriamali ni mtu gani? Huyu ni mtu ambae anaweza kutumia jamii inayomzunguka katika kuanzisha fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zitampatia kipato,mtu huyu huweza kuitumia rasilimali watu ili kujinufaisha,watu wengi wanaamini kufungua duka ni kuwa mjasiriamali hapana unaweza kufungua duka lakini bado ulichokifungua na jamii inayokuzunguka hakina faida na ni idadi ndogo tu ya watu ndio watakubaliana nacho lakini pia umefungua duka lakini unasubiria wateja waje tu,huu sio ujasiriamali bali ni ufanyabiashara.mjasiriamali biashara yake haina msimu maalumu lakini mfanyabiashara biashara yake inamsimu maalum.Zifuatazo ni sifa za mjasiria mali. 1. ANAPENDA KUJIFUNZA Hapa ndipo ugonjwa wa watu wengi ulipo mtu anajiita mjasiriamali lakini muul...

Vacancies at KIMAS CBO Mtwara (3 Jobs)

Over view of the KIMAS KIMAS is a civil society and Community based organization that was founded in 1993 and officially registered in 2001 by the ministry of home affairs with registration NO.10788. The organization is headquartered in Masasi district, Mtwara region.  KIMAS mission is to build the capacity of poor and marginalize groups of women, youth and men in Tanzania to realize their socio-economic rights and economic well-being. Currently KIMAS in collaboration with PACT-Tanzania  is implementing USAID Kizazi Kipya project in Masasi district.  Thus, for the effective implementation of the project KIMAS is looking to recruit very energetic, competent, qualified and results driven Tanzanian graduates in the following positions;  Position 1; Economic strengthening and Livelihoods officer (ESLO) Reporting; Project Manager Roles and Responsibilities: Job type; Six (6) Months contract with possibility to renew depending on availability of fund an...