Machapisho

INJILI

SOMO.NGUVU YA MAONO KATIKA MAISHA YA MKRISTO UTANGULIZI. Tangu mwanzo Mungu aliwekeza raslimali nyingi za thamani ndani ya mwanadamu kama vile Ufahamu,Ujuzi,ubunifu,Ugunduzi,busara,vipaji mbalimbali,mamlaka,uhai,chanzo cha Baraka.Mwanzo 1:26-30,2:7. Mwanadamu anapozaliwa tayari Mungu anakuwa amekamilisha sehemu kubwa ya uumbaji wa mwili,hivyo anapozaliwa huanza kudhihirisha raslimali hizo katika hali ya upekee tofauti na viumbe vingine. a) Mamlaka ya kumiliki vitu vyote Mwanzo 1:26-30,2:7 b) Kujitambua c) Chanzo au  chemichemi  au  chimbuko la Baraka –Kumb 8:18 Zaidi sana mwanadamu anapookolewa , Mungu huwekeza vitu vingine vya    thamani katika maisha ya mwanadamu.Vitu hivi humfanya Mwanadamu  afanye zaidi ya uwezo wa kuzaliwa nao (uwezo wa kawaida).Raslimali hizo ni a) Huduma,karama na vipawa  1 Kor 12:4-11 b )  Mamlaka ya kumshinda shetani  Lk 10:19, 1 sam 17:40-54 c) Ufahamu wa Ki-...

HUDUMA NA KAZI TUNAZOFANYA NSANA CZ

HUDUMA NA KAZI TUNAZOFANYA NSANACZ By Ayoub JL Nsana CZ ni kituo kinacholenga kuvumbua hazina za watu mbalimbali maarafu kama hazina mficho.Hivyo ukiwa kama mdau wa karibu nasi ,leo ninakuletea baadhi ya huduma chache kati ya nyingi zinazofanyika katika kituo chetu:- Huduma za kimtandao (Internet services). Tunafungua na kuanzisha  akaunti za E-mail katika websites kama gmail,yahoo,hotmail n.k, Kutuma nyaraka kama vyeti,hati za malipo popote pale duniani kwa muda mfupi. Kuunganisha simu katika mitandao ya kijamii kama Facebook. Printing,photocopy (black & coloured ),Scanning,Lamination,Business cards,Wedding,Invitational cards,Ceremony Cards,Propasal writing,kuhariri kazi (Editing),Kuandika mihtasari ya Vikao na kuandaa agenda. Mafunzo ya computer kwa muda mfupi (Short term computer courses) Usajiri wa maombi ya kozi za masomo ya Elimu ya juu na Vyuo kupitia NACTE,CAS,TCU,HESLB na NECTA. Ushauri wa namna bora ya kutumia fursa inayopatikana. ...

UENDESHAJI WA VIKAO

UENDESHAJI WA VIKAO Vikao ni mahali ambapo muafaka juu ya mambo mbalimbali huweza kufikiwa au kutofikiwa.Aidha Vikao ni mahali ambapo mipango na njia za kufikiwa kwa malengo hujadiliwa,huwekwa wazi na kila mjumbe hupewa jukumu la kufanya(maamuzi hufikiwa).Katika mada hii nitajikita katika kueleza mambo ya msingi ambayo kila mjumbe anapaswa kuzingatia ili kuleta ufanisi wa yaliyokusudiwa katika kikao.Si hivyo tu bali nitaeleza wahusika katika kikao na nafasi (majukumu) zao. Nini maana ya kikao?    Kikao ni majadiliano yanayofanywa baina ya wadau au kundi au jamii ya watu wenye kuwa na mlengo wa kushirikiana jambo fulani.Majadiliano hayo hufanywa kutokana na mada au agenda iliyowakusanya wahusika.Hii ina maana kwamba bila agenda hakuna kikao na kikao bila agenda ni kupoteza muda .  Ni majadiliano ambayo huwa na lengo la kupata maamuzi au maazimio ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu.Uongozi unaojali ushirikishwaji wa jamii ya watu lazima ujenge utaratibu wa kuwa ...
USAILI WA JESHI LA POLISI KWA WANAFUNZI WALIOHITIMU KIDATO CHA NNE 2014.Tembelea tovuti ya jeshi la polisi au Nacte. Kama hauwezi tembelea vituo vya Internet ili uone jina lako kama limo.