Machapisho

KUKUA NA KUIMARIKA ROHONI

“ Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu rohoni, akakaa majangwani hata siku ya kutokea kwake kwa Israeli ” (Luka 1:80)   “ Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima na neema ya Mungu ilikuwa juu yake ” (Luka 2:40) “ kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiogoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu ” (1Petro 2:2) Mtu anahitaji kukua rohoni na kuongezeka nguvu kwa sababu :-   anazaliwa akiwa mchanga rohoni (immature). Mistari hii inatuonesha wazi kwamba mtu anatakiwa kukua sio tu mwili bali na roho yake pia,   kuongeza hekima ndani ya mtu na neema juu yake.   Ili awe na msingi wa mafanikio katika kila Nyanja . “ Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama roho yako ifanikiwavyo ” (3 Yoh 1:2) Kusudi la Mungu ni tufanikiwe katika maeneo yote ya maisha sio tu machache, sio unafanikiwa maswala ya kiuchumi halafu ndoa inakushinda, au unafanikiwa kielimu halafu sehemu ya...

TABIA ZA WATU

   PATA KUFAHAMU MAKUNDI MANNE YAO Wataalam wa mambo ya saikolojia na maumbile wamezisoma tabia mbalimbali za binadamu na hatimaye wamewagawanya binadamu katika makundi makuu manne yenye kategoria kuu mbili. Kategoria hizo ni 1.    Introvant: watu wenye uwezo mkubwa kiakili na wanaotafakari mambo kwa kina hapa kuna makundi mawili 1. Melancolin             2. Fragmetic 2.      extrovants: wana uwezo wa kawaida kiakili na hawana tafakari za kina katika mambo yao Hapa kuna makundi mawili 1.  Sanguine           2. Colerick Na sasa tuangalie tabia za kila kundi na mienendo yao 1. MELANCOLIN Watu wa kundi hili (females and males) wana sifa zifuatazo -wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient) -ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi -wanamudu v...

MAMLAKA

VITU VITAKAVYOKUWEZESHA UITUMIE IPASAVYO MAMLAKA ULIYOPEWA NA MUNGU . Mwalimu:MWL MWAKASEGE Marko 11: 27-28 ‘’ 27 Wakafika tena Yerusalemu, wakati Yesu akitembea hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wakamjia. Wakamwuliza, “UNAFANYA MAMBO HAYA KWA MAMLAKA GANI? Naye ni nani aliyekupa MAMLAKA YA KUFANYA HAYO? ​ Matendo ya Mitume 4:5-7 ‘’ 5 Siku ya pili yake viongozi wa Kiyahudi, wazee na waandishi wa sheria wakakusanyika Yerusalemu, 6walikuwepo Kuhani Mkuu Anasi, Kayafa, Yohana, Iskanda na wengi wa jamaa ya Kuhani Mkuu. 7Wakiisha kuwasimamisha Petro na Yohana katikati yao, wakawauliza, “Ni kwa UWEZO GANI AU KWA JINA LA NANI mmefanya jambo hili?”’’ ​ Yesu aliulizwa swali hili kuwa ni kwa mamlaka ya nani unafanya jambo hili. Hata wanafuzni wa Yesu pia waliulizwa swali hili. Maana kwa akati ule viongozi wa dini hawakujua kuwa walifanya kwa mamlaka ya nani na ni nani aliwepa mamlaka kwa sababu hawakuwahi ona. Maana wangejua wasingeuliza. Point...