Dkt. Akwilapo awataka wahitimu wa ADEM kusimamia kanuni na taratibu katika utendaji kazi.                                                   Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi  na Teknolojia Dkt. Leornard Akwilapo amewataka wahitimu wa kozi za  Uongozi na Usimamizi wa Elimu zinazotolewa na Wakala wa Maendeleo ya  Uongozi wa Elimu (ADEM) kuhakikisha wanasimamia utekelezaji wa Sera ya  Elimu na Mafunzo ya mwaka(2014), Sheria, Kanuni na Taratibu za Elimu ili  kupunguza migogoro shuleni      Katibu Mkuu ameyasema hayo katika  mahafali ya Ishirini na tano (25) yaliyofanyika katika Chuo hicho  kilichopo Bagamoyo Mkoani Pwani ambapo amewataka ADEM  kuendelea  kusimamia utekelezaji wa Mtaala kwa ufanisi, kutoa takwimu sahihi za  shule, kupanga mipango ya maendeleo ya shule inayotekelezeka, kusimamia  fedha za elimu bila malipo kwa ufanisi.   Eneo lingine ambalo Katibu Mkuu ametaka  litiliwe mkazo ni    pamoja na kudhibiti nidhamu za wanafunzi mara  warudipo katika vituo vy...
Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2017
INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’
- Pata kiungo
 - X
 - Barua pepe
 - Programu Nyingine
 
                      INVITATION TO ATTEND THE AFRICA 2017 FORUM “DRIVING INVESTMENT FOR INCLUSIVE GROWTH’   07TH - 09TH DECEMBER, 2017, SHAM EL SHEIKH, EGYPT  .    Tanzania Investment Centre (TIC) in collaboration with the Ministry of  Industry, trade and Investment are pleased to invite local  companies/entrepreneurs to an investment forum to be held in Sham El  Sheikh, Egypt from 07th to 09th December 2017.    The Africa 2017 Forum is the largest investment forum in Africa aimed at  introducing business to business and government to business platform  focusing on key strategic sectors. The theme for this year will be  “Driving Investment for Inclusive Growth’’, providing a platform to  increase private sector cooperation in Africa and catalyze investment  into sectors of strategic interest to the African continent.  The Africa 2017 Forum will bring  together policy makers, financiers, investors, and the world countries  to promote investments in strategic sectors and the Conference ...
NILIMLISHA MUME WA MTU, LIMBWATA LA NYAMA YA BUNDI.
- Pata kiungo
 - X
 - Barua pepe
 - Programu Nyingine
 
     USHUHUDA WA THEOFLIDA WA YESU :     NILIMLISHA MUME WA MTU, LIMBWATA LA NYAMA YA BUNDI.   Nawasalimu kwa jina la YESU, jina kuu kupita majina yote.   Jina langu ninaitwa Theoflida , ni mwanamke mwenye umri wa miaka 38 mkaazi wa Mbezi ya Kimara jijini Dar Es Salaam, japo kiasili ni mwenyeji wa wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro.   .Nimeamua kuandika waraka huu kwa madhumuni makuu mawili, kwanza ni kushuhudia MATENDO MAKUU ambayo YESU AMENITENDEA na pili, ni kuwaasa wanawake wenzangu kutojihusisha kabisa na masuala ya WAGANGA WA KIENYEJI kwa sababu waganga wa kienyeji ni MAWAKALA WA KAZI ZA SHETANI HAPA DUNIANI na ni MASHETANI KABISA!...Nitaanza kwa kuelezea kisa kilicho nipelekea kuingia kichwa kichwa kwenye mikono ya wakala wa shetani..   Nilikuwa nimepanga chumba kimoja maeneo ya Tabata Mawenzi huku nikijihusisha na biashara ya genge. Jirani na nyumba niliyokuwa nimepanga, aliishi mwanaume mmoja na mke wake. Mwanaume huyu jina lake linaanzia na herufi K hivyo katika maelezo ya...
NAMNA MWANAMKE ANAVYOWEZA KUTUMIA NAFASI ZAKE KUBADILISHA MAISHA YA NDOA YAKE
- Pata kiungo
 - X
 - Barua pepe
 - Programu Nyingine
 
Na,PATRICK SANGA      Mithali 14: 1 ‘Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe’ .   Mchungaji mmoja rafiki yangu aliniambia asilimia hamsini mpaka sabini ya  changamoto au matatizo anayoshughulika nayo mara kwa mara katika kanisa  lake ni ya wanandoa. Kwa lugha nyepesi asilimia 50 – 70 ni matatizo  yatokanayo au yanayohusiana na ndoa. Binafsi pia kwa upande wangu  kupitia nafasi yangu katika mwili wa Kristo, email za wasomaji  ninazopata na pia baadhi ya semina za ndoa ambazo nimefanya kuhusu eneo  hili nimegundua kwa hakika ndoa nyingi za wana wa Mungu zina shida na  wao hawajajua kwamba vita hii inatoka kwa Shetani, maana anajua ndoa  zikitengamaa ni faida kwa ufalme wa Mungu na ni uharibifu kwenye ufalme  wake wa giza. Naam anapigana usiku na mchana ili kuhakikisha ndoa  hazitengamai kwa kuleta fujo za kila aina.   Kila siku katika ndoa kuna changamoto zinazaliwa mpaka imefika mahala  baadhi ya wanandoa wanawaza kwa nini...